DCEA: Kila mtu anawajibika kudhibiti dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuhakikisha kuwa matumizi ya dawa za kulevya nchini yanadhibitiwa, jamii imeaswa kuelimisha watoto na vijana juu ya athari zitokanazo na matumizi ya dawa hizo ili kuwa na taifa imara hapo baadaye. Hayo yamebainishwa Julai 6, jijini Dar es Salaam na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kuapamana na dawa … Continue reading DCEA: Kila mtu anawajibika kudhibiti dawa za kulevya