Infographic| OSHA inavyosaidia kukuweka salama kazini

Mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita inayongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kwamba uchumi wa nchi unaimarika hususan sekta ya viwanda. Hata hivyo, pamoja na kuwapo kwa ukuaji wa sekta ya viwanda na kuimarisha uchumi, suala la usalama na afya kwenye mazingira ya kazi ni jambo linalopaswa kupewa kipaumbele cha hali ya … Continue reading Infographic| OSHA inavyosaidia kukuweka salama kazini